Bad Urach

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Bad Urach
Nchi Ujerumani
Jimbo Baden Württemberg
Mkoa Tübingen
Wilaya Reutlingen
Idadi ya wakazi (2006-06-30)
 - Wakazi kwa ujumla 12,654
Mji kutoka mlimani

Bad Urach ni mji mdogo katika wilaya ya Reutlingen, Baden-Württemberg, Ujerumani. Iko kwenye bonde la mto Erms kilomita kumi na nne mashariki ya Reutlingen na inajulikana kwa ajili ya mapumziko na kuogelea.

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons


Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bad Urach kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.