Asubuhi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Yosemite Valley wakati wa asubuhi.

Asubuhi (kutoka Kiarabu: صباح) ni kipindi cha siku ambacho kinaleta mwanga wa kwanza wa mchana baada ya giza la usiku.

Kwa binadamu na wanyama wengi ndio wakati wa kuamka kwa kutoka usingizini ili kuanza shughuli mbalimbali.

Katika dini mbalimbali, ni wakati muhimu wa sala.

Alfajiri huko Taritari, Nueva Esparta, Venezuela Vipindi vya siku Kutwa huko Knysna, Afrika Kusini

UsikuUsiku katiUsiku wa mananeAlfajiriPambazukoAsubuhiAdhuhuriMchanaAlasiriJioniMachweo