Astana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jiji la Astana
Skyline ya Jiji la Astana
Nchi Kazakhstan
Website: www.astana.kz
Flag of Astana.png
Astana na Almaty nchini Kazakhstan

Astana (Kikazakhi: Астана, Kiajemi: آستانه) ni mji mkuu wa Kazakhstan. Kuna wakazi 600,000 (mwaka 2004).

Mji uliitwa kwa jina "Akmola" ukateuliwa mwaka 1997 kuwa mji mkuu badala ya Almaty. Jina jipya la "Astana" lamaanisha "mji mkuu". Uhamisho wa mji mkuu umesababishwa na nia ya kupeleka makao makuu ya serikali katika moyo wa nchi ilhali Almaty iko kando kabisa mpakani wa Kirgizia.

Asia.svg Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Astana kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.