Ardennes

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Idara ya Ardennes, Charleville-Mézières
Mahali pa Ardennes katika Ufaransa

Ardennes ni département (Kifaransa) au department (Kiingereza) la Champagne-Ardenne ya Ufaransa. Mji mkuu wake ni Charleville-Mézières.

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ufaransa bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ardennes kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.