Apokrifa
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Apokrifa (kutoka neno la Kigiriki ἀπόκρυφος, apókruphos, yaani "iliyofichika") ni jina linalotumika katika Ukristo kutajia vitabu ambavyo madhehebu husika hayavikubali katika Biblia.
Hivyo vitabu vilevile vinaweza kuwa vitakatifu kwa madhehebu kadhaa lakini si kwa mengine.
Lakini kuna vitabu vingine ambavyo vinatazamwa na Wakristo wote kuwa ni apokrifa.
Marejeo [hariri]
Vitabu vyenyewe
- Robert Holmes and James Parsons, Vet. Test. Graecum cum var. lectionibus (Oxford, 1798–1827)
- Henry Barclay Swete, Old Testament in Greek, i.-iii. (Cambridge, 1887–1894)
- Otto Fridolinus Fritzsche, Libri Apocryphi V. T. Graece (1871).
Commentaries
- O. F. Fritzsche and Grimm, Kurzgef. exeget. Handbuch zu den Apok. des A.T. (Leipzig, 1851–1860)
- Edwin Cone Bissell, Apocrypha of the Old Testament (Edinburgh, 1880)
- Otto Zöckler, Die Apokryphen des Alten Testaments (Munchen, 1891)
- Henry Wace, The Apocrypha ("Speaker's Commentary") (1888)
Introduction and General Literature:
- Emil Schürer, Geschichte des jüdischen Volkes, vol. iii. 135 sqq., and his article on "Apokryphen" in Herzog's Realencykl. i. 622-653
- Porter, Frank C. (1898). "Apocrypha". In James Hastings. A Dictionary of the Bible. I. pp. pages 110–123. http://www.ccel.org/ccel/hastings/dictv1/Page_110.html.