Anna Semamba Makinda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Anna Semamba Makinda (amezaliwa tar. 15 Julai 1949) ni mbunge wa jimbo la Njombe Kusini katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia [hariri]

Marejeo [hariri]

  1. Mengi kuhusu Anna Semamba Makinda (2 Juni 2008). Rudishwa juu ya 11 Novemba 2011.