Mbizi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Anhingidae)
Mbizi
Mbizi wa Afrika
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Suliformes (Ndege kama ndegejinga)
Familia: Anhingidae (Ndege walio na mnasaba na mbizi)
Jenasi: Anhinga
Brisson, 1760
Ngazi za chini

Spishi 4:

Mbizi au michemba ni ndege wa maji wa jenasi Anhinga, jenasi pekee ya familia Anhingidae. Wana shingo refu na domo refu lenye ncha kali na makali ya menomeno. Huzamia chini ya maji ili kuwakamata samaki wakiuliza domo lao kama mkuki. Huzaa kwa makoloni na hujenga tago lao la vitawi mitini au kwa matete.

Spishi ya Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za mabara mengine[hariri | hariri chanzo]

Spishi za kabla ya historia[hariri | hariri chanzo]

  • Anhinga subvolans (Mwanzo wa Miocene ya Thomas Farm, MMA) – zamani iliainishwa katika Phalacrocorax
  • Anhinga cf. grandis (Kati ya Miocene ya Kolombia mpaka mwisho wa Pliocene ya Amerika Kusini)
  • Anhinga sp. (Kati ya Miocene ya Mátraszõlõs, Hungaria)
  • Anhinga fraileyi (Mwisho wa Miocene mpaka mwanzo wa Pliocene ya Amerika Kusini)
  • Anhinga minuta (Mwisho wa Miocene/mwanzo wa Pliocene ya Amerika Kusini)
  • Anhinga pannonica (Mwisho wa Miocene/mwanzo wa Pliocene ya Tataruş-Brusturi, Hungaria na Libiya, Tunisia, Pakistan na Uthai)
  • Anhinga grandis (Mwisho wa Miocene mpaka mwisho wa Pliocene ya MMA)
  • Anhinga malagurala (Mwanzo wa Pliocene ya "Charters Towers", Australia)
  • Anhinga sp. (Mwanzo wa Pliocene ya "Bone Valley", MMA)
  • Anhinga hadarensis (Mwisho wa Pliocene/mwanzo wa Pleistocene ya Afrika ya Mashariki)
  • Anhinga sp. (Mwanzo wa Pleistocene ya Coleman, MMA) – labda ni moja na Anhinga sp. "Bone Valley"


Picha[hariri | hariri chanzo]