Allmusic
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Allmusic (zamani na pia inajulikana kama All Music Guide au AMG) ni database inayohusisha masuala ya muziki. Ilianzishwa na All Media Guide. All Music ilibuniwa mnamo 1991 na mkusanyaji wa habari za kitamaduni Bw. Michael Erlewine na mwanahisabati Vladimir Bogdanov, Ph.D., wakiwa kama viongozi wa watu wanaotaka kununua muziki. Mwaka uliofutia, wakachapisha kitabu pia, na tangu hapo wakawa wanafanya tena na tena.
Viungo vya Nje [hariri]
- Allmusic
- All Media Guide
- Make it or break it: How a small-town music fetishist turned an obsession into a multimillion-dollar All Media Guide (Metro Times, Detroit)
| Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Allmusic kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |