Allianz Arena
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Allianz Arena ni uwanja wa mpira wa miguu kutoka Kaskazini mwa mji wa Munich, Ujerumani. Kwakuwa uwanja huo huwa na kawaida ya kuchezea Ligi kuu za mabingwa, ukapelekea kuitwa jina la Munich arena. Katika uwanja wa Allianz kuna timu mbili za mkoa huwa zinachezea katika uwanja huo. Moja kati ya timu hizo ni FC Bayern München na TSV 1860 München tangu msimu wa mwaka 2005/2006 wanachezea katika uwanja wao wa nyumbani. Uwanja una viti vipatavyo 69,901. Wakati Kombe la Dunia la mwaka 2006 lililochezewa nchini Ujerumani, uwanja wa Allianz pia ulitumiwa. Inasemekana kuwa, uwanja huo uligharimu takriban Euro milioni 340.
Picha mbalimbali za uwanja wa Allianz Arena [hariri]
- Picha zinazoonyesha baadhi ya maeneo ya uwanja Allianz Arena:
Viungo vya nje [hariri]
- Official website of Allianz Arena Facts and Figures Section provides details like the amount of concrete used, composition of the facade, facade lighting etc. (Kiingereza)
- www.allianz-arena.de Official website (Kijerumani)
- www.arena-one.de Restaurant operator
- Allianz Arena at Footballmatch
- www.0lll.com Allianz Arena Photographs
- Allianz Arena katika Structurae database
- Allianz Arena - Architectour.net
- Allianz Arena Stadium Guide (Kijerumani)
- Technical and detail information on architecture and building materials (Kijerumani)
- Overview of all 2006 World Cup stadiums
- World Cup Watch Venue Guides
- The Allianz Arena in Lego
| Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Allianz Arena kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |