Ali Tarab Ali

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ali Tarab Ali (amezaliwa 20 Julai 1947) ni Mbunge wa jimbo la Konde katika Bunge la Tanzania tangu 2005[1] Anatokea katika chama cha CUF.

Alipata shahada ya udaktari katika mada ya biokemia kutoka chuo Kikuu cha Kharkov, Urusi, mwaka wa 1984.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Ali Ali Tarab". 19 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-05-24. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011. 

Chanzo[hariri | hariri chanzo]