Al Jazeera

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Al Jazeera English ni stesheni ya runinga ya kutangaza habari na taarifa za mambo leo masaa ishirini na nne kwa lugha ya Kiingereza iliyo na makao yake makuu ni mjini Doha, Qatar.

Nembo ya Al Jazeera

Stesheni hii huonyesha habari za makala na uchambuzi, mijadala, taarifa za mambo leo, biashara, teknolojia, na michezo. Wao hudai kuwa stesheni ya kwanza ya kimataifa inayotangaza kwa mtandao wa kisasa (high-definition).[1] Kauli yake mbiu ni Setting the News Agenda.

Hii ni stesheni ya kwanza inayotangaza kwa lugha ya Kiingereza iliyo na makao yake makuu kwenye nchi iliyo Mashariki ya Kati.[2]

Al Jazeera ina vituo vinne vikuu kote duniani, mjini London, Washington, DC, Kuala Lumpur na Doha. Ina milikiwa na serikali ya Qatar.[3] Hii ni moja kati ya stesheni chache iliyo na ofisi zake mjini Gaza na Harare.

Uzinduzi[hariri | hariri chanzo]

Al Jazeera ilianzishwa mnamo 15 Novemba 2006. Stesheni hii ilikuwa iitwe Al Jazeera International lakini hili jina lilibadilishwa miezi tisa kabla ya uzinduzi.[4]

Stesheni hii ililenga kufikia nyumba milioni 40, lakini ilipitisha lengo hili kwa kuweza kufikia nyumba milioni 80.[5]

Vipindi[hariri | hariri chanzo]

Ofisi za kimataifa[hariri | hariri chanzo]

Kando na vituo vyake vinne, Al Jazeera ina ofisi zingine 21.

Mashariki ya Kati[hariri | hariri chanzo]

Kituo cha Kutangaza: Doha
Watangazaji habari: Jane Dutton, David Foster, Imran Garda, Shiulie Ghosh, Darren Jordon, Maryam Nemazee, Sohail Rahman, Kamahl Santamaria, Lauren Taylor, Sami Zeidan, Hoda Abdel-Hamid, Hashem Ahelbarra, James Bays, John Cookson, Clayton Swisher, Sherine Tadros, Nadim Baba, Imran Kahn, na Mike Hanna.

Ofisi na watangazaji wake
Beirut: Rula Amin, Zeina Khodr
Jerusalem: Jacky Rowland
Gaza: Ayman Mohyeldin na Sherine Tadros
Ramallah: Nour Odeh
Tehran: Alireza Ronaghi

Afrika[hariri | hariri chanzo]

Ofisi: mjini Cairo, Abidjan, Nairobi, Johannesburg, na Harare.

Wanahabari: Amr El Kahky, Haru Mutasa, Mohammed Adow, Mohamad Vall, Yvonne Ndege

Bara Ulaya[hariri | hariri chanzo]

Kituo cha utangazaji: mjini London
Watangazaji habari: Hamish Macdonald, Felicity Barr, Stephen Cole, Barbara Serra, Alan Fisher, Richard Bestic, Tim Friend, Nazanine Moshiri.

Ofisi na watangazaji wake:
Athens: Barnaby Phillips
Moscow. Neave Barker

Marekani[hariri | hariri chanzo]

Kituo cha utangazaji: Washington DC
Wanahabari: Ghida Fakhry, Anand Naidoo, Shihab Rattansi, Rosiland Jordan, Nick Spicer, Kimberly Halkett na Rob Reynolds

Ofisi na wanahabari wake:
Bogota: Monica Villamizar
Buenos Aires: Lucia Newman, Teresa Bo
Caracas: Mariana Sanchez and Lucrecia Franco
New York: Kristen Saloomey, John Terret
Mexico City: Franc Contreras
Sao Paulo: Gabriel Elizondo

Asia and Australasia[hariri | hariri chanzo]

Kituo cha utangazaji: mjini Kuala Lumpur
Wanahabari: Teymoor Nabili, Divya Gopalan, Laura Kyle, Veronica Pedrosa, Tony Birtley, Casey Kauffman, na Selina Downes

Ofisi na wanahabari wake
Beijing: Tony Cheng na Melissa Chan
Islamabad: Kamal Hyder
Jakarta: Step Vaessen
Delhi: Matt Mcclure
Manila: Marga Ortigas

Wafanyikazi[hariri | hariri chanzo]

Wafanyikazi wanaojulikana kufanya kazi kwa Al Jazeera ni[6] (waajiriwa wa awali wako kwenye mabano):

  • Dalal Azar (Arab News Network, BBC World),
  • Felicity Barr (ITN),
  • Nick Clark]] (BBC World, ITV, various),
  • Stephen Cole]] (BBC World, CNN International, Sky News),
  • Brendan Connor (CBC Television)
  • Jane Dutton (BBC World & CNN International),
  • Ghida Fakhry (Asharq Al-Awsat, Lebanese Broadcasting Corporation|LBC),
  • Dr. Shereen El Feki (The Economist),
  • Elizabeth Filippouli (Ellinikí Radiofonía Tileórasi|ERT),
  • Alan Fisher (GMTV),
  • David Foster (Sky News),
  • Everton Fox (BBC World)
  • Sir David Frost (BBC World, ITV),
  • Steve Gaisford (Sky News, ITV, Five (channel)|Five),
  • Imran Garda (Supersport),
  • Joanna Gasiorowska (ITN, Sky Sports),
  • Steff Gaulter (Sky News, Met Office),
  • Shiulie Ghosh (ITN),
  • Richard Gizbert (American Broadcasting Company|ABC),
  • Divya Gopalan (BBC World, NBC, CNBC),
  • Kimberley Halkett (Global TV - Canada),
  • David Hawkins (CBS, CNN),
  • Hassan Ibrahim (Al Jazeera),
  • Darren Jordon (BBC World),
  • Riz Khan (BBC World & CNN International),
  • Avi Lewis (CBC),
  • Hamish MacDonald (Channel 4, ITV),
  • Julie MacDonald (British Journalist)|Julie MacDonald (ITV, BBC World, GMTV),
  • Teymoor Nabili (BBC World & CNBC),
  • Maryam Nemazee (Russia Today TV|Russia Today),
  • Rageh Omaar (BBC World),
  • Marga Ortigas (GMA News and Public Affairs and CN)
  • Shahnaz Pakravan (BBC World, ITN),
  • Amanda Palmer (CNN]], Associated Press Television News|APTV, Seven Network),
  • Verónica Pedrosa (ABS-CBN, BBC World & CNN International),
  • Sohail Rahman (Granada Television|Granada TV, ITV, BBC World, Channel 4 & CNN),
  • Shihab Rattansi (Channel NewsAsia & CNN International)
  • Andy Richardson (Sky News & ITN)
  • Josh Rushing (US Marine Corps),
  • Kamahl Santamaria (Sky News Australia, 3 News|TV3 News),
  • Mark Seddon (BBC World, Sky News, Channel 4, various),
  • Barbara Serra (Sky News),
  • Nick Spicer (NPR, USA, CBC),
  • Lauren Taylor (ITN),
  • Sami Zeidan (CNBC Arabiya & CNN)
  • Marwan Bishara (American University of Paris),

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]