Akira Kurosawa
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Akira Kurosawa (23 Machi, 1910 – 6 Septemba, 1998) alikuwa mwongozaji wa filamu wa Kijapani. Filamu nyingi za Kurosawa zilikuwa maarufu sana katika Ujapani. Na zilikuwa zikipendwa na watu wengi tu duniani.
[hariri] Viungo vya nje
- Akira Kurosawa katika Internet Movie Database
| Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Akira Kurosawa kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |