Agatha mfiadini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro wa Piero della Francesca, Sant'Agata.

Agatha (jina hilo la Kigiriki lina maana ya "Mwema") alikuwa bikira wa Catania, Sicilia, leo nchini Italia (230 - 251) aliyefia dini ya Ukristo, akitunza hivyo safi mwili wake na imani yake sawia kumshuhudia ujanani Kristo kuwa Bwana katika dhuluma ya kaisari Decius.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu, hasa tarehe 5 Februari ambayo ndiyo sikukuu yake[1].

Picha[hariri | hariri chanzo]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Salvatore Consoli, Sant'Agata Vergine e Martire catanese, Catania 1973
  • Adolfo Longhitano, Il culto di sant'Agata in Agata, la santa di Catania, Bergamo 1998
  • Fortunato Orazio Signorello, Dalla Sicilia al Piemonte, in Agata, nobile e martire, Prospettive, Catania 1991
  • Santo Privitera, Il libro di sant'Agata, Boemi editore, Catania 1999
  • Gateano Zito, S. Agata da Catania, Gorle (GB) 2004

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.