Adama

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Adama
Adama is located in Ethiopia
Adama
Adama

Mahali pa mji wa Adama katika Ethiopia

Majiranukta: 8°32′0″N 39°16′0″E / 8.53333°N 39.26667°E / 8.53333; 39.26667
Nchi Ethiopia
Mkoa Oromia
Wilaya Misraq Shewa
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 338,940
Kitovu cha mji wa Adama.
Kanisa la Adama.

Adama (pia: Nazret au Nazreth; kwa Kiamhara: ናዝሬት nāzrēt; kwa Kioromo: Adaamaa au Hadaamaa; kwa Ge'ez ኣዳማ ādāmā) ni makao makuu ya Jimbo la Oromia nchini Ethiopia.

Idadi ya wakazi wake ni takriban 338,940 (2016).

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ethiopia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Adama kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.