Abdulkarim Esmail Hassan Shah

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Abdulkarim Esmail Hassan Shah (amezaliwa tar. 25 Mei 1961) ni mbunge wa jimbo la Mafia katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia [hariri]

Marejeo [hariri]

  1. Mengi kuhusu Abdulkarim Esmail Hassan Shah (21 Julai 2006). Rudishwa juu ya 11 Novemba 2011.