Abdul Jabir Marombwa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Abdul Jabir Marombwa (amezaliwa tar. 25 Mei 1959) ni mbunge wa jimbo la Kibiti katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Abdul Jabir Marombwa". 21 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011. 

Viungo vya nnje[hariri | hariri chanzo]