Abdisalam Issa Khatib

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Abdisalam Issa Khatib (amezaliwa tar. 9 Juni 1940) ni mbunge wa jimbo la Makunduchi katika bunge la kitaifa tangu 1995 huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia [hariri]

Marejeo [hariri]

  1. Mengi kuhusu Abdisalam Issa Khatib (10 Julai 2006). Rudishwa juu ya 11 Novemba 2011.