622
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
[hariri] Matukio
- 16 Julai: mwanzo wa Hijra - Muhammad na wafuasi wake wanaondoka Makka kuhamia Madina. Mwaka huu utakuwa mwaka wa kwanza wa Kalenda ya Kiislamu.
- 20 Septemba - Muhammad anafika Madina anapopokelewa vzuri na kuwa kiongozi wa mji pamoja na Umma wa wafuasi wake
- Vita kati ya Uajemi na Bizanti: Kaisari Herakleios anaongoza mashumbulizi ya Waroma.
[hariri] Waliozaliwa
[hariri] Waliofariki
- 8 Aprili: kifo cha Shotoku Kaishi, mwana wa nasaba ya kifalme wa Japani aliyekuwa kati ya wafuasi wa kwanza wa Ubuddha nchini Japani

