622
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 6 | Karne ya 7 | Karne ya 8 | ►
◄ | Miaka ya 590 | Miaka ya 600 | Miaka ya 610 | Miaka ya 620 | Miaka ya 630 | Miaka ya 640 | Miaka ya 650 | ►
◄◄ | ◄ | 618 | 619 | 620 | 621 | 622 | 623 | 624 | 625 | 626 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 622 (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
- 16 Julai: mwanzo wa Hijra - Muhammad na wafuasi wake wanaondoka Makka kuhamia Madina. Mwaka huu utakuwa mwaka wa kwanza wa Kalenda ya Kiislamu.
- 20 Septemba - Muhammad anafika Madina anapopokelewa vzuri na kuwa kiongozi wa mji pamoja na Umma wa wafuasi wake
- Vita kati ya Uajemi na Bizanti: Kaisari Herakleios anaongoza mashumbulizi ya Waroma.
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 622 DCXXII |
| Kalenda ya Kiyahudi | 4382 – 4383 |
| Kalenda ya Ethiopia | 614 – 615 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 71 ԹՎ ՀԱ |
| Kalenda ya Kiislamu | 0 – 1 |
| Kalenda ya Kiajemi | 0 – 1 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 677 – 678 |
| - Shaka Samvat | 544 – 545 |
| - Kali Yuga | 3723 – 3724 |
| Kalenda ya Kichina | 3318 – 3319 辛巳 – 壬午 |
Waliofariki [hariri]
- 8 Aprili: kifo cha Shotoku Kaishi, mwana wa nasaba ya kifalme wa Japani aliyekuwa kati ya wafuasi wa kwanza wa Ubuddha nchini Japani
Wikimedia Commons ina media kuhusu: