1810
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 18 | Karne ya 19 | Karne ya 20 | ►
◄ | Miaka ya 1780 | Miaka ya 1790 | Miaka ya 1800 | Miaka ya 1810 | Miaka ya 1820 | Miaka ya 1830 | Miaka ya 1840 | ►
◄◄ | ◄ | 1806 | 1807 | 1808 | 1809 | 1810 | 1811 | 1812 | 1813 | 1814 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1810 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri]
Waliozaliwa[hariri]
| Kalenda ya Gregori | 1810 MDCCCX |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5570 – 5571 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1802 – 1803 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1259 ԹՎ ՌՄԾԹ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1225 – 1226 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1188 – 1189 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 1865 – 1866 |
| - Shaka Samvat | 1732 – 1733 |
| - Kali Yuga | 4911 – 4912 |
| Kalenda ya Kichina | 4506 – 4507 己巳 – 庚午 |
- 11 Januari Johann Ludwig Krapf katika kijiji cha Derendingen (Ujerumani ya Kusini-Magharibi) atakayekuwa mmisionari wa CMS katika Ethiopia na Mombasa; atatunga kamusi na sarufi ya kwanza ya Kiswahili.
- 22 Februari - Frédéric Chopin, mtunzi wa muziki kutoka Poland
- 2 Machi - Papa Leo XIII
- 8 Juni - Robert Schumann, mtunzi wa muziki kutoka Ujerumani
Waliofariki[hariri]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: