1804
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Miaka: | 1801 1802 1803 - 1804 - 1805 1806 1807 |
[hariri] Matukio
- 1 Januari - Haiti inatangaza uhuru wake kutoka Ufaransa kama "Jamhuri ya watu weusi" ya kwanza na taifa huru la pili katika Amerika (baada ya Marekani)
- 2 Desemba - Napoleon Bonaparte anajiwekea taji la "Kaisari wa Wafaransa"
[hariri] Waliozaliwa
- 23 Novemba - Franklin Pierce, Rais wa Marekani (1853-1857)

