1781
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 17 | Karne ya 18 | Karne ya 19 | ►
◄ | Miaka ya 1750 | Miaka ya 1760 | Miaka ya 1770 | Miaka ya 1780 | Miaka ya 1790 | Miaka ya 1800 | Miaka ya 1810 | ►
◄◄ | ◄ | 1777 | 1778 | 1779 | 1780 | 1781 | 1782 | 1783 | 1784 | 1785 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1781 BK (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
- 13 Machi - Sayari ya Uranus imegunduliwa na William Herschel.
- 4 Septemba - walowezi 44 waunda kijiji cha Los Angeles (jina kamili: El Pueblo de Nuestra Señora la Reina de los Ángeles de Portiuncula) ambayo leo hii ni ni mji mkubwa wa ili wa Marekani.
- 19 Oktoba - Wanajeshi wa Uingereza wajisalimisha mjini Yorktown (Virginia) baada ya kushindwa na Wamarekani wanaosaidiwa na Wafaransa katika mapigano makubwa ya mwisho wa vita ya uhuru ya Marekani.
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 1781 MDCCLXXXI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5541 – 5542 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1773 – 1774 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1230 ԹՎ ՌՄԼ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1195 – 1196 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1159 – 1160 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 1836 – 1837 |
| - Shaka Samvat | 1703 – 1704 |
| - Kali Yuga | 4882 – 4883 |
| Kalenda ya Kichina | 4477 – 4478 庚子 – 辛丑 |
Waliofariki [hariri]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: