Çamlıhemşin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Milima ya Rize iliyopo Çamlıhemşin

Çamlıhemşin ni mji na wilaya iliopo Mkoani Rize kwenye kanda ya Bahari Nyeusi huko nchini Uturuki.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Çamlıhemşin kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.